Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Machi 28, 2024 Local time: 22:34

Viongozi wa Umoja wa nchi za Kiarabu wamkaribisha tena al-Assad


Viongozi wa Umoja wa nchi za Kiarabu wamkaribisha tena al-Assad
please wait

No media source currently available

0:00 0:03:24 0:00

Ni mara ya kwanza kwa Rais wa Syria Bashar al Assad anahutubia chombo hicho tangu Syria ilipoondolewa kutoka Umoja wa nchi za kiarabu mwaka 2011 kufuatia ukamataji wake alioufanya kwa waandamanaji wanaompinga ndani ya Syria.

XS
SM
MD
LG