DRC: Kutana na Pascal akitafuta njia mbadala ya kujikimu kimaisha karibu na kambi ya wakimbizi
Kutana na Katembo Mwanga Pascal ambaye amefanikiwa kuanzisha biashara katika eneo la kambi ya watu waliopoteza makazi yao ndani ya nchi Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo. Anaeleza namna vita ilivyosababisha kushindwa kutumia fani aliyosomea na badala yake kutafuta maisha. Endelea kusikiliza.
Matukio
-
Machi 05, 2024
Je, nini Super Tuesday?
-
Machi 05, 2024
Misaada ya kimataifa yaanza kuwasili Sudan
-
Februari 12, 2024
Polisi wapambana na waandamanai Kinshasa
-
Februari 06, 2024
Polisi wavambia bunge la Senegal na kuwaondoa wabunge wa upinzani.