DRC: Kutana na Pascal akitafuta njia mbadala ya kujikimu kimaisha karibu na kambi ya wakimbizi
Kutana na Katembo Mwanga Pascal ambaye amefanikiwa kuanzisha biashara katika eneo la kambi ya watu waliopoteza makazi yao ndani ya nchi Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo. Anaeleza namna vita ilivyosababisha kushindwa kutumia fani aliyosomea na badala yake kutafuta maisha. Endelea kusikiliza.
Matukio
-
Machi 14, 2025Changamoto za ulezi wa watoto walemavu kiakili Kenya
-
Februari 28, 2025Waislamu wajitayarish kwa Ramadhani
-
Februari 27, 2025Ethiopia na Somalia waimarisha uhusiano wao
-
Februari 18, 2025Nini kilichosababisha Raila Odinga kushindwa katika uchaguzi wa AU?
-
Februari 11, 2025Naibu Katibu Mkuu aeleza hatua za dharura zinazochukuliwa DRC