Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumatano, Desemba 17, 2025 Local time: 14:08

Uhuru wa waandishi Afrika washuka kwa kiwango kikubwa- Ripoti


Uhuru wa waandishi Afrika washuka kwa kiwango kikubwa- Ripoti
please wait

No media source currently available

0:00 0:04:15 0:00

Ripoti ya Waandishi Wasio na Mipaka inaonyesha kushuka kwa kiwango kikubwa kwa uhuru wa waandishi wa habari barani Afrika.

Ungana na mwandishi wetu akukuletea taswira kamili ya hali ilivyo katika bara hilo na nchi gani zimeshuka zaidi katika ukiukaji wa uhuru wa vyombo vya habari unaofanywa na serikali mbalimbali. Endelea kusikiliza.

XS
SM
MD
LG