Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Machi 28, 2024 Local time: 17:11

Kenya inaendelea kukabiliwa na ukiukaji mkubwa wa uhuru wa habari


Kenya inaendelea kukabiliwa na ukiukaji mkubwa wa uhuru wa habari
please wait

No media source currently available

0:00 0:04:44 0:00

Kenya bado inaendelea kukabiliwa na ukiukaji mkubwa wa uhuru wa habari dhidi ya wanahabari na vyombo vya habari hususan mwaka 2022.

Ungana na mwandishi wetu akikuletea ripoti ya hatua ambazo zimepigwa katika kuimarisha upashaji habari na changamoto ambazo bado zinawakabili waandishi na vyombo bya habari. Endelea kusikiliza.

XS
SM
MD
LG