Katika michauano ya ligi ya klabu bingwa ya Kikapu barani Afrika- BAL inayoendelea huko mjini Kigali timu za Stade Malien, Al Ahly, Petro de Luanda na AS Douanes zimetinga nusu fainali. .
Katika michauano ya ligi ya klabu bingwa ya Kikapu barani Afrika- BAL inayoendelea huko mjini Kigali timu za Stade Malien, Al Ahly, Petro de Luanda na AS Douanes zimetinga nusu fainali. .