Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumapili, Februari 09, 2025 Local time: 21:39

Wapinga ufalme wa Uingereza wasema hakuna haki ya maandamano ya amani nchini humo



Wapinga ufalme wa Uingereza wasema hakuna haki ya maandamano ya amani nchini humo
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Wapinga ufalme wa Uingereza siku ya Jumapili walikosoa usimamizi wa Polisi katika hafla ya kutawazwa kwa Mfalme Charles III kama unyanyasaji, wakisema hakuna haki tena ya maandamano ya amani nchini Uingereza baada ya darzeni ya waandamanaji hao kukamatwa na kuzuiliwa hadi usiku

XS
SM
MD
LG