Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumatatu, Februari 10, 2025 Local time: 22:13

Mawaziri wa Uganda waanza kurejesha mabati waliyogawana ya watu wa Karamoja.


Mawaziri wa Uganda waanza kurejesha mabati waliyogawana ya watu wa Karamoja.
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Serikali ya Uganda ilinunua mabati ya kuezekea kwa ajili ya kusambazwa bure kwa watu walio na kipato cha chini na masikini wa eneo la Karamoja lakini maafisa wakuu wa serikali mjini Kampala badala yake waligawana mabati kati yao wenyewe.

XS
SM
MD
LG