Serikali ya Uganda ilinunua mabati ya kuezekea kwa ajili ya kusambazwa bure kwa watu walio na kipato cha chini na masikini wa eneo la Karamoja lakini maafisa wakuu wa serikali mjini Kampala badala yake waligawana mabati kati yao wenyewe.
Serikali ya Uganda ilinunua mabati ya kuezekea kwa ajili ya kusambazwa bure kwa watu walio na kipato cha chini na masikini wa eneo la Karamoja lakini maafisa wakuu wa serikali mjini Kampala badala yake waligawana mabati kati yao wenyewe.