Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 26, 2024 Local time: 05:58

Upinzani Senegal wadai himizo la Rais kuhusu usalama ni kukandamiza wapinzani


Upinzani Senegal wadai himizo la Rais kuhusu usalama ni kukandamiza wapinzani
please wait

No media source currently available

0:00 0:00:36 0:00

Rais wa Senegal amewahimiza maafisa wa polisi kuchukua hatua zote muhimu kuhakikisha usalama unaimarishwa zaidi kufuatia maandamano ya kupinga hatua ya kufunguliwa mashtaka kiongozi wa upinzani nchini humo.

XS
SM
MD
LG