Marekani: Rais Biden atangaza amri ya kiutendaji kudhibiti ununuzi wa bunduki
Rais wa Marekani Joe Biden ametangaza amri ya kiutendaji yenye lengo la kupanua taratibu za ukaguzi wakati wa kununua bunduki ilikujaribu kudhibiti mauaji ya watu wengi kwa mara moja nchini Marekani. Biden amelitaka Bunge kuchukua hatua zaidi. Ungana na mwandishi wetu akikuletea ripoti kamili.
Matukio
-
Machi 14, 2025Changamoto za ulezi wa watoto walemavu kiakili Kenya
-
Februari 28, 2025Waislamu wajitayarish kwa Ramadhani
-
Februari 27, 2025Ethiopia na Somalia waimarisha uhusiano wao
-
Februari 18, 2025Nini kilichosababisha Raila Odinga kushindwa katika uchaguzi wa AU?
-
Februari 11, 2025Naibu Katibu Mkuu aeleza hatua za dharura zinazochukuliwa DRC