Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 25, 2024 Local time: 17:28

Marekani: Rais Biden atangaza amri ya kiutendaji kudhibiti ununuzi wa bunduki


Marekani: Rais Biden atangaza amri ya kiutendaji kudhibiti ununuzi wa bunduki
please wait

No media source currently available

0:00 0:03:14 0:00

Rais wa Marekani Joe Biden ametangaza amri ya kiutendaji yenye lengo la kupanua taratibu za ukaguzi wakati wa kununua bunduki ilikujaribu kudhibiti mauaji ya watu wengi kwa mara moja nchini Marekani. Biden amelitaka Bunge kuchukua hatua zaidi. Ungana na mwandishi wetu akikuletea ripoti kamili.

XS
SM
MD
LG