Marekani: Rais Biden atangaza amri ya kiutendaji kudhibiti ununuzi wa bunduki
Rais wa Marekani Joe Biden ametangaza amri ya kiutendaji yenye lengo la kupanua taratibu za ukaguzi wakati wa kununua bunduki ilikujaribu kudhibiti mauaji ya watu wengi kwa mara moja nchini Marekani. Biden amelitaka Bunge kuchukua hatua zaidi. Ungana na mwandishi wetu akikuletea ripoti kamili.
Matukio
-
Machi 05, 2024
Je, nini Super Tuesday?
-
Machi 05, 2024
Misaada ya kimataifa yaanza kuwasili Sudan
-
Februari 12, 2024
Polisi wapambana na waandamanai Kinshasa
-
Februari 06, 2024
Polisi wavambia bunge la Senegal na kuwaondoa wabunge wa upinzani.