Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Juni 03, 2023 Local time: 05:09

Wafuasi wa haki za mashoga washutumu wabunge Uganda kupiga kura kufanya kuwa kosa la jinai kwa anayejitambulisha hadharani kuwa shoga


Wafuasi wa haki za mashoga washutumu wabunge Uganda kupiga kura kufanya kuwa kosa la jinai kwa anayejitambulisha hadharani kuwa shoga
please wait

No media source currently available

0:00 0:30:00 0:00

Wafuasi wa haki za mashoga wanawashutumu wabunge wa Uganda kwa kupiga kura ili kufanya kuwa kosa la jinai kwa mtu yeyote anayejitambulisha hadharani kuwa ni shoga au wa mapenzi ya jinsia moja.

XS
SM
MD
LG