Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Machi 12, 2026 Local time: 07:14

Kenya: Serikali na Taasisi za Kimataifa wafanikiwa kupunguza vifo vya watoto


Kenya: Serikali na Taasisi za Kimataifa wafanikiwa kupunguza vifo vya watoto
please wait

No media source currently available

0:00 0:04:05 0:00

Daktari na mtafiti wa Shirika la Kemri, Kenya Sam Akech anaeleza namna juhudi zilizochukuliwa na taasisi za kimataifa na serikali kukabiliana na vifo vya watoto zilivyozaa matunda. Ungana na mwandishi wetu wa Nairobi katika mahojiano haya maalum.

XS
SM
MD
LG