Mswada unaokusudia kuwataka wanaoshiriki mapenzi ya jinsia moja kuchukuliwa hatua kali zaidi uliwasilishwa bungeni nchini Uganda siku ya Alhamisi na kuibua shutuma kali kutoka kwa makundi ya kutetea haki za kiraia.
Mswada unaokusudia kuwataka wanaoshiriki mapenzi ya jinsia moja kuchukuliwa hatua kali zaidi uliwasilishwa bungeni nchini Uganda siku ya Alhamisi na kuibua shutuma kali kutoka kwa makundi ya kutetea haki za kiraia.