Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Aprili 23, 2024 Local time: 13:50

Viongozi wa mataifa maskini zaidi duniani wazungumzia mzigo mkubwa wa ukosefu wa nafasi za ajira kwa vijana


Viongozi wa mataifa maskini zaidi duniani wazungumzia mzigo mkubwa wa ukosefu wa nafasi za ajira kwa vijana
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Viongozi kutoka mataifa maskini zaidi duniani wameeleza masikitiko yao katika mkutano wa Umoja wa Mataifa kuhusu jinsi nchi zao zinavyotendewa na nchi tajiri, ambazo zinasema zimesababisha kutokuwepoo nafasi za kutosha za ajira kwa vijana.

XS
SM
MD
LG