Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumatatu, Machi 20, 2023 Local time: 19:34

Wanajeshi 100 wa Burundi wawasili katika Mji wa Goma


Wanajeshi 100 wa Burundi wawasili katika Mji wa Goma
please wait

No media source currently available

0:00 0:30:00 0:00

Wanajeshi 100 kutoka jeshi la wananchi wa Burundi waliwasili Jumapili katika Mji wa Goma 30 wakitumia usafiri wa ndege za jeshi la Kenya-KDF na wengine 70 wakitumia barabara ya taifa la Rwanda wakiwa katika malori sita ya jeshi la Burundi

XS
SM
MD
LG