Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Januari 25, 2025 Local time: 08:02

Mwalimu nchini Kenya aanzisha kampuni ya kutengneza pikipiki za umeme


Mwalimu nchini Kenya aanzisha kampuni ya kutengneza pikipiki za umeme
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Mwalimu mmoja nchini Kenya aanzisha kampuni ambayom inatengeneza pikipiki zinazotumia nguvu za umeme kutoka kwenye betri za zamani za kompyuta za mkononi maarufu Laptop. Uvumbuzi huo, unatajwa kuwa njia nafuu na endelevu ya usafiri kwa kutumia rasilimali ambazo ni rahisi kupatikana.

XS
SM
MD
LG