Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumatatu, Juni 15, 2026 Local time: 20:22

Mwalimu nchini Kenya aanzisha kampuni ya kutengneza pikipiki za umeme


Mwalimu nchini Kenya aanzisha kampuni ya  kutengneza pikipiki  za  umeme
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Mwalimu mmoja nchini Kenya aanzisha kampuni ambayom inatengeneza pikipiki zinazotumia nguvu za umeme kutoka kwenye betri za zamani za kompyuta za mkononi maarufu Laptop. Uvumbuzi huo, unatajwa kuwa njia nafuu na endelevu ya usafiri kwa kutumia rasilimali ambazo ni rahisi kupatikana.

XS
SM
MD
LG