Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 25, 2024 Local time: 22:32

Upinzani nchini Tanzania umeanza rasmi mikutano ya hadhara ambayo ilipigwa marufuku miaka ya nyuma


Upinzani nchini Tanzania umeanza rasmi mikutano ya hadhara ambayo ilipigwa marufuku miaka ya nyuma
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Maelfu ya wafuasi wa chama cha upinzani cha CHADEMA walikusanyika katika viwanja vya Furahisha katika jiji la Mwanza lililoko kando ya ziwa Victoria wakiwa wamejipaka rangi ya bluu, nyekundu na nyeupe ya chama hicho kwenye mkutano wao wa kwanza uliohudhuriwa na viongozi wa juu wa CHADEMA

XS
SM
MD
LG