Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 26, 2024 Local time: 03:55

Taasisi ya Space Child nchini Kenya inawaongoza watoto na vijana 158 kuwapatia uwezo bora kupitia stadi za maisha


Taasisi ya Space Child nchini Kenya inawaongoza watoto na vijana 158 kuwapatia uwezo bora kupitia stadi za maisha
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Mkurugenzi katika Spice Child, Chrispine Okelo anasema lengo hasa hasa ni kuwawezesha vijana kuendana na mabadiliko ya kimazingira, kupata stadi muhimu za maisha na kukuza vipaji walivyonavyo pamoja na kuepukana na uovu unaoibuka miongoni mwa jamii wanazoishi kama vile uraibu

XS
SM
MD
LG