Dawa 17 tofauti zimetumika kutibu aina hiyo ya kisonono bila mafanikio. Kulingana na taasisi ya utafiti wa kisayansi Kenya (KEMRI). Ugonjwa wa kisonono unaendelea kusambaa Kenya na idadi ya watu walioambukizwa haijulikani kutokana na watu kuwa na uhusiano wa kimapenzi na watu tofauti