Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 18, 2024 Local time: 15:49

Wanasayansi kenya wamegundua ugonjwa wa kisonono usiyosikia dawa unasambaa kwa kasi bila ya wagonjwa kuonyesha dalili za kuugua


Wanasayansi kenya wamegundua ugonjwa wa kisonono usiyosikia dawa unasambaa kwa kasi bila ya wagonjwa kuonyesha dalili za kuugua
please wait

No media source currently available

0:00 0:30:00 0:00

Dawa 17 tofauti zimetumika kutibu aina hiyo ya kisonono bila mafanikio. Kulingana na taasisi ya utafiti wa kisayansi Kenya (KEMRI). Ugonjwa wa kisonono unaendelea kusambaa Kenya na idadi ya watu walioambukizwa haijulikani kutokana na watu kuwa na uhusiano wa kimapenzi na watu tofauti

XS
SM
MD
LG