Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Julai 27, 2024 Local time: 04:46

China inapinga masharti mapya ya COVID kwa wasafiri ikisema hatua hizo hazina msingi wa kisayansi


China inapinga masharti mapya ya COVID kwa wasafiri ikisema hatua hizo hazina msingi wa kisayansi
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Msemaji wa wizara ya mambo ya nje ya China Mao Ning aliwaambia waandishi wa habari katika mkutano kwamba China inaweza kuanzisha "hatua za kukabiliana nazo kwa kuzingatia kanuni ya usawa"

XS
SM
MD
LG