Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Julai 27, 2024 Local time: 04:39

Mwanaharakati Saadia anayepinga ukeketaji wa wasichana na wanawake anasema ni vyema wasichana wafahamu haki zao wakiwa bado wadogo


Mwanaharakati Saadia anayepinga ukeketaji wa wasichana na wanawake anasema ni vyema wasichana wafahamu haki zao wakiwa bado wadogo
please wait

No media source currently available

0:00 0:30:00 0:00

Kiongozi wa taasisi isiyo ya kiserikali ya Brighter Society Association nchini Kenya ambaye pia alipokea tuzo ya Coins of Light kutoka kwa Malkia Elizabeth wa Uingereza anasema tuzo hiyo inamjenga katika kubuni harakati zaidi za kupambana na ukeketaji dhidi ya wasichana Afrika mashariki

XS
SM
MD
LG