Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Aprili 23, 2024 Local time: 16:48

Marekani: Wafanyakazi na waandishi wa gazeti la New York Times wagoma


Marekani: Wafanyakazi na waandishi wa gazeti la New York Times wagoma
please wait

No media source currently available

0:00 0:03:04 0:00

Mamia ya waandishi wa habari na wafanyakazi wa gazeti la New York Times wameanza mgomo wa saa 24 Ijumaa.

Wafanyakazi hao wamekerwa na hali ya kudorora kwa majadiliano yanayoendelea kwa miezi kadhaa katika ugomvi mkubwa kuwahi kutokea katika miaka 40 kwa magazeti makubwa hapa Marekani. Endelea kusikiliza hali ilivyokuwa...

XS
SM
MD
LG