Kanisa Katoliki na makanisa mengine ya Kikristo yanaendelea kusherehekea Krismasi hapo Disemba 25 kama siku ya kuzaliwa kwa Yesu. Siku hii pia ni kama fursa ya kushiriki na familia, marafiki na jamaa kwa kupeana zawadi pamoja na vyakula tofauti
Kanisa Katoliki na makanisa mengine ya Kikristo yanaendelea kusherehekea Krismasi hapo Disemba 25 kama siku ya kuzaliwa kwa Yesu. Siku hii pia ni kama fursa ya kushiriki na familia, marafiki na jamaa kwa kupeana zawadi pamoja na vyakula tofauti