Elon Musk amesema Twitter itaruhusu tu akaunti zilizo na tiki ya bluu kupiga kura kuhusu mabadiliko ya sera baada ya asilimia 57.5 ya watumiaji kumpigia kura ya kuachia ngazi kama Mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya Twitter
Elon Musk amesema Twitter itaruhusu tu akaunti zilizo na tiki ya bluu kupiga kura kuhusu mabadiliko ya sera baada ya asilimia 57.5 ya watumiaji kumpigia kura ya kuachia ngazi kama Mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya Twitter