Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 18:35

IMF imepitisha mkopo wa dola milioni 447 kwa Kenya baada ya kutathmini program zake za mikopo


IMF imepitisha mkopo wa dola milioni 447 kwa Kenya baada ya kutathmini program zake za mikopo
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Deni la umma la kenya lilikuwa limeanza kupungua kutokana na maendeleo ya kuchanganyisha pamoja sera zake za fedha, shirika la fedha la kimataifa (IMF) imesema katika taarifa yake na kuongeza kuwa imetenga fedha za ziada chini ya wizara iliyopo sasa nchini humo

XS
SM
MD
LG