Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 19, 2024 Local time: 21:14

Raia wawili wa Ethiopia wamewasilisha kesi dhidi ya kampuni mama ya Facebook ya META kuhusu matamshi ya chuki kwenye mitandao ya kijamii


Raia wawili wa Ethiopia wamewasilisha kesi dhidi ya kampuni mama ya Facebook ya META kuhusu matamshi ya chuki kwenye mitandao ya kijamii
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Mtafiti wa zamani wa haki za binadamu wa Amnesty International, Fisseha Tekle ni mmoja wa walalamikaji katika kesi iliyowasilishwa Jumatano na mwingine ni mtoto wa profesa wa chuo kikuu, Meareg Amare ambaye aliuawa wiki kadhaa baada ya machapisho kwenye Facebook kuchochea ghasia dhidi yake

XS
SM
MD
LG