Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 01:53

Waziri wa mambo ya nje wa Afrika kusini anasema hataki kuzungumzia zaidi ripoti ya jopo inayomchunguza Rais Ramaphosa juu ya ufisadi wa 2020


Waziri wa mambo ya nje wa Afrika kusini anasema hataki kuzungumzia zaidi ripoti ya jopo inayomchunguza Rais Ramaphosa juu ya ufisadi wa 2020
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Matokeo ya jopo hilo yanakuja chini ya mwezi mmoja kabla ya mkutano wa uchaguzi ambao utaamua ikiwa Rais Ramaphosa atawania muhula wa pili kwa tiketi ya chama cha African National Congress (ANC) katika uchaguzi wa mwaka 2024

XS
SM
MD
LG