Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Machi 28, 2024 Local time: 13:37

Rais wa zamani wa Comoros ahukumiwa kifungo cha maisha gerezani


Rais wa zamani wa Comoros ahukumiwa kifungo cha maisha gerezani
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Kiongozi wa zamani wa Comoro Ahmed Abdallah Sambi, 64, amefungwa kifungo cha maisha gerezani baada ya kuwa katika kizuizi cha nyumbani kwa karibu miaka mitano bila kufikishwa mahakamani hadi Jumatatu wiki iliyopita alipoufunguliwa mashtaka ya uhaini.

XS
SM
MD
LG