Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 25, 2024 Local time: 04:45

Kenyatta aeleza masikitiko kuona maelfu ya watu waliofurushwa makwao DRC


Kenyatta aeleza masikitiko kuona maelfu ya watu waliofurushwa makwao DRC
please wait

No media source currently available

0:00 0:30:00 0:00

Rais wa zamani wa Kenya Uhuru Kenyatta Jumatano alitoa wito kwa jumuiya ya kimataifa kuingilia kati kwa haraka, na kutanzua mzozo unaoendelea katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, ambako mapigano kati ya jeshi na waasi wa M23 yamepamba moto tena.

XS
SM
MD
LG