Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 05:01

Rais wa Marekani Joe Biden anahudhuria mkutano wa mabadiliko ya hali ya hewa wa Umoja wa mataifa (COP27) nchini Misri


Rais wa Marekani Joe Biden anahudhuria mkutano wa mabadiliko ya hali ya hewa wa Umoja wa mataifa (COP27) nchini Misri
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Rais Biden anazungumzia kuhusu kile Marekani imefanya kukabiliana na changamoto za mabadiliko ya hali ya hewa ndani ya Marekani na nje ya nchi. Baadhi ya wajumbe wa mkutano wapo na ari ya kusikia kile mataifa tajiri yanaweza kufanya kwa mataifa ambayo yanakabiliwa na maafa ya mazingira.

XS
SM
MD
LG