Rais Biden anazungumzia kuhusu kile Marekani imefanya kukabiliana na changamoto za mabadiliko ya hali ya hewa ndani ya Marekani na nje ya nchi. Baadhi ya wajumbe wa mkutano wapo na ari ya kusikia kile mataifa tajiri yanaweza kufanya kwa mataifa ambayo yanakabiliwa na maafa ya mazingira.