Mkuu wa Mpango wa Maendeleo wa Umoja wa Mataifa aonya kwamba mataifa mengi maskini yanapata shida kutafuta fedha kwa ajili ya kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa kwa sababu ya mzigo mkubwa wa madeni waliyonayo.
Mkuu wa Mpango wa Maendeleo wa Umoja wa Mataifa aonya kwamba mataifa mengi maskini yanapata shida kutafuta fedha kwa ajili ya kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa kwa sababu ya mzigo mkubwa wa madeni waliyonayo.