Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Mei 13, 2025 Local time: 12:43

Uchumi wa bahari Kenya wakumbwa na changamoto


Uchumi wa bahari Kenya wakumbwa na changamoto
please wait

No media source currently available

0:00 0:30:00 0:00

Kuna wasiwasi kuhusu kupatikana kwa mafanikio kamili katika mpango wa Serikali ya Kenya wa kuzalisha uchumi wa baharini maarufu, blue economy , iwapo baadhi ya sekta zinazohusishwa na mpango huo zitakosa kuimarika pamoja na kutoa fursa za kibiashara.

XS
SM
MD
LG