Kuibuka tena kwa kundi la M23 limeyumbisha uhusiano wa kikanda katika Afrika ya kati huku Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC) ikimshutumu jirani yake Rwanda kwa kuwaunga mkono wanamgambo hao waasi
Kuibuka tena kwa kundi la M23 limeyumbisha uhusiano wa kikanda katika Afrika ya kati huku Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC) ikimshutumu jirani yake Rwanda kwa kuwaunga mkono wanamgambo hao waasi