Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumatano, Machi 19, 2025 Local time: 18:29

Hisia mseto baada ya DRC kumfukuza balozi wa Rwanda


Hisia mseto baada ya DRC kumfukuza balozi wa Rwanda
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Wakati huo huo, hisia mseto zimeendelea kutolewa kufuatia hatua ya utawala wa Rais Felix Tshisekedi wa Jamhuri ya kidemokrasia ya kongo kumfukuza balozi wa Rwanda nchini humo, huku hali ya usalama ikiendelea kuzorota kwenye mpaka wa DRC na Rwanda.

XS
SM
MD
LG