Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 11:19

Elon Musk ameanza rasmi kumiliki mtandao wa Twitter na amewafukuza kazi wakurugenzi watatu


Elon Musk ameanza rasmi kumiliki mtandao wa Twitter na amewafukuza kazi wakurugenzi watatu
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya Tesla, Elon Musk ameanza rasmi kumiliki Twitter baada ya miezi kadhaa ya malumbano ya kisheria. Pia amewafukuza kazi viongozi watatu walioshikilia nafasi za juu katika mtandao huo wa Twitter

XS
SM
MD
LG