Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumatatu, Aprili 21, 2025 Local time: 21:19

Afrika Kusini kurekebisha mkakati wake wa kupambana na ufisadi


Afrika Kusini kurekebisha mkakati wake wa kupambana na ufisadi
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Afrika Kusini itarekebisha mkakati wake wa kupambana na ufisadi na kuhakikisha uhuru wa waendesha mashtaka, Rais Cyril Ramaphosa alisema Jumapili, akijibu mapendekezo kutoka kwenye uchunguzi wa serikali kuhusu madai ya ufisadi chini ya mtangulizi wake.

XS
SM
MD
LG