Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres alionya Jumatatu kwamba hali ya kaskazini mwa Ethiopia "inazidi kudorora" na haoni suluhu ya kijeshi ikifanikiwa kwenye mzozo huo.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres alionya Jumatatu kwamba hali ya kaskazini mwa Ethiopia "inazidi kudorora" na haoni suluhu ya kijeshi ikifanikiwa kwenye mzozo huo.