Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumatatu, Juni 08, 2026 Local time: 04:40

Guterres aonya mzozo wa Kaskazini mwa Ethiopia unazidi kuzorota


Guterres aonya mzozo wa Kaskazini mwa Ethiopia unazidi kuzorota
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres alionya Jumatatu kwamba hali ya kaskazini mwa Ethiopia "inazidi kudorora" na haoni suluhu ya kijeshi ikifanikiwa kwenye mzozo huo.

XS
SM
MD
LG