Milionea mfanyabiashara wa madini ya Almasi ambaye alishinda uchaguzi wa bunge nchini Lesotho wiki iliyopita leo Jumanne ametangaza kuwa ataongoza serikali ya muungano ya vyama vitatu
Milionea mfanyabiashara wa madini ya Almasi ambaye alishinda uchaguzi wa bunge nchini Lesotho wiki iliyopita leo Jumanne ametangaza kuwa ataongoza serikali ya muungano ya vyama vitatu