Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 18, 2024 Local time: 19:17

Mkuu wa UNHCR aomba ulinzi zaidi kwa wakimbizi


Mkuu wa UNHCR aomba ulinzi zaidi kwa wakimbizi
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Mkuu wa shirika la Umoja wa mataifa linalohudumia wakimbizi (UNHCR) Filipo Grandi ametoa wito kwa nchi wanachama wa shirika hilo kutoa ulinzi kwa watu wanaokimbia mizozo na unyanyasaji, bila kujali kabila na uraia wao.

XS
SM
MD
LG