Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Machi 28, 2024 Local time: 17:17

Uganda yaadhimisha miaka 60 ya uhuru wake


Uganda yaadhimisha miaka 60 ya uhuru wake
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Uganda imesheherekea miaka 60 ya Uhuru wake Jumapili huko katika viwanja vya Kololo jijini Kampala.Rais Yoweri Museveni katika hotuba yake alitoa wito wa ushirikiano wa kibiashara kwa mataifa ya Afrika Mashariki na kuacha utegemezi wa kuagiza bidhaa kutoka nje ya kanda hiyo.

XS
SM
MD
LG