Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 00:00

Papa Francis ametoa utetezi mkali dhidi ya wahamiaji akitaja kuwa kutengwa kwao ni "Kashfa, karaha na dhambi"


Papa Francis ametoa utetezi mkali dhidi ya wahamiaji akitaja kuwa kutengwa kwao ni "Kashfa, karaha na dhambi"
please wait

No media source currently available

0:00 0:30:00 0:00

Kiongozi wa kanisa Katoliki Papa Francis aliyasema hayo alipomsimika askofu wa karne ya 19 anayejulikana kama "baba wa wahamiaji" na mtu wa karne ya 20 ambaye alihudumia wagonjwa nchini Argentina. Matamshi ya Papa yanamuweka katika mgongano na serikali ijyo ya mrengo wa kulia ya Italia

XS
SM
MD
LG