Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Machi 28, 2024 Local time: 17:17

Wanajeshi saba wa Djibouti wameuawa katika shambulizi lililofanywa kwenye kambi ya jeshi na waasi nchini humo


Wanajeshi saba wa Djibouti wameuawa katika shambulizi lililofanywa kwenye kambi ya jeshi na waasi nchini humo
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:58 0:00

Taarifa ya wizara ya ulinzi nchini Djibouti ililaumu shambulizi hilo dhidi ya kambi ya Garabtisan iliyoko kaskazini mwa taifa dogo la Pembe ya Afrika kwenye Front for the Restoration of Unity and Democracy (ARMED FRUD) likielezewa kama "kundi la kigaidi"

XS
SM
MD
LG