Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Julai 27, 2024 Local time: 05:02

Spika wa Bunge la Kenya ashutumiwa kwa "kujitwika madaraka"


Spika wa Bunge la Kenya ashutumiwa kwa "kujitwika madaraka"
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Wabunge wa upinzani nchini Kenya chini ya Muungano wa Azimio La Umoja One Kenya wametaja uamuzi wa Alhamisi wa Spika wa Bunge la Kitaifa Moses Wetangula kuukabidhi Muungano wa Kenya Kwanza wa Rais William kuwa Kiongozi wa Walio Wengi katika Bunge hilo kama utekwaji nyara wa bunge.

XS
SM
MD
LG