Vijana wahitimu wa vyuo vikuu nchini Tanzania washauriwa kuachana na dhana ya kusubiria serikali iwaajiri, badala yake wajiingize katika shughuli za ujasiriamali na kazi za mikono.
Vijana wahitimu wa vyuo vikuu nchini Tanzania washauriwa kuachana na dhana ya kusubiria serikali iwaajiri, badala yake wajiingize katika shughuli za ujasiriamali na kazi za mikono.