Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Machi 28, 2024 Local time: 18:02

Kenya: Mvutano kuhusu nani kiongozi halisi wa walio wengi Bungeni


Kenya: Mvutano kuhusu nani kiongozi halisi wa walio wengi Bungeni
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:58 0:00

Mzozo unaozingira swala la ni nani kiongozi halisi wa walio wengi katika bunge la Kenya, umemlazimu Spika wa bunge hilo Moses Wetangula kumteua Naibu Spika Gladys Boss kwa muda mfupi, kusimamia kamati ya kuratibu shughuli za bunge ili kusitisha usambaratishaji wa shughuli za taasisi hiyo.

XS
SM
MD
LG