Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Julai 27, 2024 Local time: 04:58

Wanasayansi na maafisa wa serikali Kenya wahitilafiana kuhusu vyakula vya GMO


Wanasayansi na maafisa wa serikali Kenya wahitilafiana kuhusu vyakula vya GMO
please wait

No media source currently available

0:00 0:30:00 0:00

Tofauti kali zimeibuka nchini Kenya baada ya baraza la mawaziri Jumatatu kuondoa marufuku iliyokuwepo kwa miaka 10 ya vyakula na mazao yaliyokuwa kwa njia ya kibioteknolojia huku wakosoaji wa hatua hiyo wakisema ni hatari mno kwa afya ya wananchi.

XS
SM
MD
LG