Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Aprili 20, 2024 Local time: 05:08

Kenya: Rais Ruto ateua baraza lake la mawaziri


Kenya: Rais Ruto ateua baraza lake la mawaziri
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Rais wa Kenya William Ruto ameteua baraza lenye mawaziri 21, wakiwemo mawaziri wanawake 7. Ruto amemteua aliyekuwa makamu wa rais Musalia Mudavadi kuwa mkuu wa mawaziri katika serikali yake, na gavana wa zamani wa Benki kuu ya Kenya Njuguna Ndung'u kuwa waziri wa fedha.

XS
SM
MD
LG