Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Aprili 19, 2025 Local time: 20:34

Madaktari wa DRC waandamana kuomba nyongeza ya mishahara


Madaktari wa DRC waandamana kuomba nyongeza ya mishahara
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Mamia ya madaktari wa hospitali za umma nchini Jamuhuri ya kidemokrasia ya Congo, wameandamana mjini Kinshasa na miji mingine ya mashariki mwa nchi, kwa lengo la kuishinikiza serikali kuboresha mazingira yao ya kazi na kuongezewa mshahara.

XS
SM
MD
LG