Rais wa Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo Felix Tshisekedi anataka Umoja wa Mataifa na ulimwengu kwa jumla kuchukua hatua za dharura na kali kuiwajibisha serikali ya Rwanda, akisema ndio inachangia kwa kiasi kikubwa kuvuruga amani mashariki mwa DRC.
Rais wa Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo Felix Tshisekedi anataka Umoja wa Mataifa na ulimwengu kwa jumla kuchukua hatua za dharura na kali kuiwajibisha serikali ya Rwanda, akisema ndio inachangia kwa kiasi kikubwa kuvuruga amani mashariki mwa DRC.