Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 16:43

DRC yaishitaki Rwanda kwenye mkutano wa Umoja wa Mataifa


DRC yaishitaki Rwanda kwenye mkutano wa Umoja wa Mataifa
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:58 0:00

Rais wa Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo Felix Tshisekedi anataka Umoja wa Mataifa na ulimwengu kwa jumla kuchukua hatua za dharura na kali kuiwajibisha serikali ya Rwanda, akisema ndio inachangia kwa kiasi kikubwa kuvuruga amani mashariki mwa DRC.

XS
SM
MD
LG