Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 26, 2024 Local time: 06:00

Madaktari Kenya wapokea vyema pendekezo la matibabu ya chemotherapy bila kikomo kwa watoto


Madaktari Kenya wapokea vyema pendekezo la matibabu ya chemotherapy bila kikomo kwa watoto
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Watoto walio na saratani nchini Kenya hivi karibuni huenda wakapata vipindi vya chemotherapy bila kikomo ikiwa mapendekezo mapya ya Wizara ya Afya nchini humo yatapitishwa.

XS
SM
MD
LG