Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumatano, Februari 19, 2025 Local time: 02:58

Wanaharakati DRC wataka mkutano wa Umoja wa Mataifa kuidhinisha kuondoka kwa MONUSCO


Wanaharakati DRC wataka mkutano wa Umoja wa Mataifa kuidhinisha kuondoka kwa MONUSCO
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Wanaharakati wa kisiasa na mashirika ya kiraia mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wanataka umoja wa mataifa - katika kikao chake cha 77 mjini New York - kujadili na kuidhinisha kuondolewa kwa wa ujumbe wa Monusco nchini humo kwa tuhuma za kushindwa kutekeleza majukumu yake.

XS
SM
MD
LG